Ni swali alilouliza mpendwa mmoja.
Katika Biblia wapo Marian watano.
1.Mariam mama yake Yesu bays alikuwa bilra Luka 1:26,27
2. Wa pili ni Mariam Magdalene ambaye alitolewa pepo saba na pia alikuwa amekamatwa kwa kosa la zinaa makuhani Na mafarisayo wakitaka kumpiga mawe Yesu.
3. Mariam mamaye Yakobo cleopas mark 15:40
4. Wa nne Mariam mamaye Yohana Marko katika Matendo 12:12
5. Mariam Wa kanisa la Rumi katika warumo 16:6.
Zaidi hata jina LA Miriam in maana ya Mariam Ila katika lugha ya kiebrania.
No comments:
Post a Comment