2 Na siku ya saba Mungu alimaliza kazi yake yote aliyoifanya; akastarehe siku ya saba, akaacha kufanya kazi yake yote aliyoifanya.
3 Mungu akaibarikia siku ya saba, akaitakasa kwa sababu katika siku hiyo Mungu alistarehe, akaacha kufanya kazi yake yote aliyoiumba na kuifanya.
. Na neno hili pia lipo katika amri ya nne kutoka 20:8-11
Na pia mbali Na sabato ya Siku ya sabato zilikuwepo sabato nyingine ambazo wanawa Israel walitakiwa kuzishika au kuzitunza
Walawi 23:38
Na Zaidi ya hizo sabato za BWANA , Na zaisi ya matoleo .......
Ambazo zipo walawi 25:8
Nawe utajihesabaia sabato saba za miaka, maana miaka saba Mara saba; zitakuwa ni siku za sabato saba za miaka kwenu ....
Inatoka walawi 25:2-4
Isome!
No comments:
Post a Comment