Sunday, September 2, 2018

18. Je, kuamini ukweli tu wa kimbingu unatosha?

 Wewe waamini ya kuwa Mungu ni mmoja; watenda vema. Mashetani nao waamini na kutetemeka.
Yakobo 2:19
Kusema tu huu ni ukweli au Mungu yupo haitoshi lazima uishi kulingana Na ukweli unaoujua.

No comments:

Post a Comment