Friday, August 31, 2018

Je, yapi ni matokeo ya mwisho ya kutenda dhambi?

Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti; bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu warumi 6:23

Halafu ile tama ikiisha kuchukua mimba huzaa dhambi na ile dhambi ikiisha kukomaa huzaa mauti yakobo 1:15

No comments:

Post a Comment