Friday, August 31, 2018

6. Je, mwanadamu aweza kujiweka huru lkutoka katika utumwa wa dhambi?

Je, mkushi aweza kuibadili ngozi yake, au chui madoa-doa yake? Kama aweza ndipo na ninyi mwaweza kutenda mema , ninyi mliozoea kuteda mabaya.

Mabadiliko ya tabia yanapatikana kwa Mungu. Kujaribu kwa bidii zako kubadilika waweza jikuta unaumia bure na kukosa amani katika maisha, na utakatifu kuonekana kama mzigo kwako na watu wakuzungukao.

No comments:

Post a Comment