Mnawaza nini juu ya BWANA? Yeye atakomesha kabisa; mateso hayatainuka
mara ya pili. Nahum 1:9
Naye atafuta kila chozi katika macho yao, wala mauti haitakuwepo tena;
wala maombolezo, wala kilio, wala maumivu ahyatakuwepo tena, kwakuwa mambo ya
kwanza yamekwisha kupita. Ufunuo 21:4
Wala hapatakuwa na laana yoyote tena. Na kiti cha enzi cha Mungu na cha
Mwana-Kondoo kitakuwepo ndani yake na watumwa wake watamtumikia. Ufunuo 22:3
No comments:
Post a Comment