Friday, August 31, 2018

11. Je, dhambi na matokeo yake yatatokea tena?

Mnawaza nini juu ya BWANA? Yeye atakomesha kabisa; mateso hayatainuka mara ya pili. Nahum 1:9
Naye atafuta kila chozi katika macho yao, wala mauti haitakuwepo tena; wala maombolezo, wala kilio, wala maumivu ahyatakuwepo tena, kwakuwa mambo ya kwanza yamekwisha kupita. Ufunuo 21:4

Wala hapatakuwa na laana yoyote tena. Na kiti cha enzi cha Mungu na cha Mwana-Kondoo kitakuwepo ndani yake na watumwa wake watamtumikia. Ufunuo 22:3

No comments:

Post a Comment