10. Ni lini na kwa njia ipi madhara ya dhambi yataondolewa?
Lakini
siku ya Bwana itakuja kama mwivi; katika siku hiyo mbingu zitatoweka kama
mshindo mkuu na viumbe vya asili vitaunguzwa na kufumuliwa , na nchi na kazi
zilizomo ndani yake zitateketea. 2 petro 3:10
No comments:
Post a Comment