Lakini
siku ya Bwana itakuja kama mwivi; katika siku hiyo mbingu zitatoweka kama
mshindo mkuu na viumbe vya asili vitaunguzwa na kufumuliwa , na nchi na kazi
zilizomo ndani yake zitateketea. 2 petro 3:10
Friday, August 31, 2018
11. Je, dhambi na matokeo yake yatatokea tena?
Mnawaza nini juu ya BWANA? Yeye atakomesha kabisa; mateso hayatainuka
mara ya pili. Nahum 1:9
Naye atafuta kila chozi katika macho yao, wala mauti haitakuwepo tena;
wala maombolezo, wala kilio, wala maumivu ahyatakuwepo tena, kwakuwa mambo ya
kwanza yamekwisha kupita. Ufunuo 21:4
Wala hapatakuwa na laana yoyote tena. Na kiti cha enzi cha Mungu na cha
Mwana-Kondoo kitakuwepo ndani yake na watumwa wake watamtumikia. Ufunuo 22:3
9. Kiasi gani au kwa kiwango gani Yesu ameteseka kwa ajili ya wadhambi?
Bali
alijeruhiwa kwa makosa yetu, alichubuliwa kwa maovu yetu;adhabu ya amani yetu
ilikuwa juu yake, na kwa kupigwa kwake sisi tumepona, isaya 53:5
Je, kwanini Yesu aliamua kufanyika mwili?
Basi kwakuwa watoto wameshirki damu na mwili, yeye naye vivyo hivyo
alishiriki yay ohayo, ili kwa njia ya mauti amharbu yeye aliyekuwa na nguvu za
maut, yaani Ibilisi, waebrania 2:14
7. Kwanini Kristo alidhihishwa au kuja?
Nanyi mnajua ya kuwa yeye alidhihirishwa, ili aziondoe dhambi; na dhambi
haimo ndani yake.
1 yohana 3:5
Ni moja wapo ya kazi ya Yesu alokuja kuifanya duniani.
6. Je, mwanadamu aweza kujiweka huru lkutoka katika utumwa wa dhambi?
Je, mkushi aweza kuibadili ngozi yake, au chui madoa-doa yake? Kama aweza
ndipo na ninyi mwaweza kutenda mema , ninyi mliozoea kuteda mabaya.
Mabadiliko ya tabia yanapatikana kwa Mungu. Kujaribu kwa bidii zako
kubadilika waweza jikuta unaumia bure na kukosa amani katika maisha, na
utakatifu kuonekana kama mzigo kwako na watu wakuzungukao.
Je, Mungu ana matazamaje mtu anayetenda dhambi?
Maana
mimi sikufurahii kufa kwake afaye, asema Bwana MUNGU; basi ghairini mkaishi Ezekiel
18:32
Je, kwanini Mungu hawaadhibu wadhambi mapema?
Bwana
hakawii kuitimiza ahadi yake, kama wengne wanavyokudhani kukawia, bali
huvumilia kwenu, maana hapendi mtu yeyote apotee, bali wote wafikilie toba. 2
petro 3:9
3. Je, watu wangapi wamehathiriwa na mauti itokananyo na kosa la Adamu?
Kwa hiyo,kama kwa mtu mmoja dhambi iliingia ulimwenguni, na kwa dhambi
hiyo mauti; na hivyo mauti ikawafikia watu wote kwasababu wote wmaefanya
dhambi; warumi 5:12
Je, yapi ni matokeo ya mwisho ya kutenda dhambi?
Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti; bali karama ya Mungu ni uzima wa
milele katika Kristo Yesu Bwana wetu warumi 6:23
Halafu ile tama ikiisha kuchukua mimba huzaa dhambi na ile dhambi ikiisha
kukomaa huzaa mauti yakobo 1:15
1. Dhambi ni nini?
Weng twaweza kujiuliza swali hili kuwa dhambi ni nini?
1 yohana 3:4 I nasema Kila atendaye dhambi, afanya uasi; kwa
kuwa dhambi ni uasi
Subscribe to:
Comments (Atom)